Rais John Magufuli akimuapisha Emanuel
Nchimbi kuwa Balozi Nchini Brazili, Ikulu jijini Dar es Salaam.
Rais John Magufuli akimuapisha Dkt.
James Msekela kuwa Balozi Geneva –Umoja
wa Mataifa,
Rais John Magufuli akimuapisha Mbelwa
Kairuki kuwa Balozi nchini China.
Rais
John Magufuli akimuapisha George
Madafa kuwa Balozi nchini Italia.
Rais John Magufuli akimuapisha Profesa
Elizabeth Kiondo kuwa Balozi nchini Uturuki.
Rais John Magufuli akimuapisha Fatma
Rajab kuwa balozi nchini Qatar.
Mabalozi
wateule wakila kiapo cha Uadilifu mara baada ya kuapishwa na Rais John
Magufuli Ikulu Dar es Salaam. Wakwanza kulia ni Balozi Emanuel Nchimbi,
Balozi Dkt. James Msekela , Balozi Mbelwa
Kairuki, Balozi George Madafa, Balozi Prof. Elizabeth Kiondo na Balozi Fatma
Rajab.
Rais John Magufuli akiwa na Makamu wa
Rais Samia Suluhu Hassan katika picha ya pamoja na Mabalozi wateule mara baada
ya kuwaapisha.
Rais John Magufuli akizungumza na Mabalozi mbalimbali aliowaapisha Ikulu Dar es Salaam.(PICHA NA IKULU).
No comments:
Post a Comment