KWA MAWASILIANO ZAIDI: E-mail: yusuf.badi2@gmail.com.

NSSF

TANGAZO

Thursday, September 19, 2013

BODI YA KAMPUNI  YA MAGAZETI YA SERIKALI (TSN)  YAZINDULIWA RASMI  LEO  DAR ES SALAAM

 Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Magazeti ya Serikali (TSN) wachapaji wa Magazeti ya Daily News, Habarileo na Spotileo, Prof. Moses Warioba akizungumza wakati Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Dr. Fenela Mukangara alipozundua Bodi hiyo leo.
Picha ya pamoja kati ya Waziri wa Habari, Vijana Utamaduni na Michezo, Dr. Fenela Mukangara (katikati) na Wajumbe wa Bodi ya Magazeti ya Serikali (TSN) mara baada ya kuzindua rasmi bodi hiyo leo jijini Dar es Salaam. Wajumbe hao kutoka kushoto ni Kaimu Mhariri Mtendaji wa TSN, Gabriel Nderumaki, Dr. Evelyn Mweta, Naibu Katibu Mkuu wa Wizara, Prf. Elisante Ole Gabriel, Mwenyekiti wa Bodi, Prof. Fenela Mukangara, Consolatha Ishebabi na Alfred Nchimbi.

No comments: