KWA MAWASILIANO ZAIDI: E-mail: yusuf.badi2@gmail.com.

NSSF

TANGAZO

Monday, September 16, 2013

WAHAMIAJI HARAMU WAKAMATWA NA WAMALAWI WAJISALIMISHA NA KUPATIWA HATI ZA KUISHI NCHINI.

 Wahamiaji haramu kutoka nchini Malawi wakikita kambi Wizara ya Mambo ya Ndani kusubiri hati za kuishi nchini.
 Wahamiaji haramu wa Malawi wakiwa katika mistari kusubiri kuingia ndani ya Ofisi za Mambo ya Ndani.
 wakiwa Mambo ya Ndani.
 wengine wakiondoka baada ya kupata hati za kuishi nchini.
 wakisubiri kuingia Ndani.

Wahamiaji  haramu wanaodai viongozi wa Dini kutoka Nigeria ambao wapo nchini zaidi ya miaka miwili wakiwa chini ya ulinzi katika Kituo cha Uhamiaji Mkoa wa Dar es Salaam jana baada ya kukamatwa eneo la Tabata. Kutoka kushoto ni Augustine Promise Ndubilisi,Keneth Keleshi Onyebuchi James Anuka Ateli,Moses IWahfenyichukwu Opara. Kati ya hawa wanne wawili walikimbia.

No comments: