KWA MAWASILIANO ZAIDI: E-mail: yusuf.badi2@gmail.com.
View the slide show
NSSF
View the slide show
TANGAZO
View the slide show
Tuesday, February 11, 2014
KAMATI KUU YATEUA MGOMBEA WA CCM KALENGA.
Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akimtambulisha kwa waandishi wa habari, mgombea wa Ubunge katika uchaguzi mdogo jimbo la Kalenga, Iringa, Godfrey William Mgimwa (kushoto), leo, katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam. Nape amemtambulisha Godfrey ambaye ni mtoto wa Marehemu Dk. William Mgimwa, baada ya Kamati Kuu ya CCM kumpitisha, leo kuwania nafasi hiyo ya Ubunge. (Picha na Bashir Nkoromo)
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
No comments:
Post a Comment