Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akiungana na viongozi wa madhehebu mbalimbali wa
dini ya Kiislamu katika furari aliyowaandalia Ikulu jijini Dar es
salaam.
Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akiwashukuru viongozi wa madhehebu mbalimbali wa
dini ya Kiislamu kwa kuhudhuria katika furari aliyowaandalia Ikulu.
Sehemu
ya waliohudhuria katika futari aliyoandaa Rais Jakaya Mrisho Kikwete
kwa viongozi wa madhehebu mbalimbali wa dini ya Kiislamu.
Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,
Sheikh Alhadi Mussa Salum (aliyesimama kushoto), akitoa neno la
Shukurani baada ya futari aliyoandaa Rais Jakaya Mrisho Kikwete kwa
viongozi wa madhehebu mbalimbali wa dini ya Kiislamu.
Kadhi Mkuu wa Tanzania Sheikh Abdullah Yusuf bin Ali bin Yusuf ash-Shirazi Mnyasi (mwenye
kipaaza sauti) akiongoza dua katika futari aliyoandaa Rais Jakaya
Mrisho Kikwete kwa viongozi wa madhehebu mbalimbali wa dini ya Kiislamu
Ikulu.
No comments:
Post a Comment