KWA MAWASILIANO ZAIDI: E-mail: yusuf.badi2@gmail.com.

NSSF

TANGAZO

Thursday, September 18, 2014

KINANA ATIA TIMU MANEROMANGO MKOA WA PWANI.

 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akihutubia mamia ya wananchi katika mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye Uwanja Soko la Maneromango, wilayani Kisaarawe mkoa wa Pwani.
 Mamia ya wananchi wakiwa kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika leo Maneromango Kisarawe mkoa wa Pwani.Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akihutubia mamia ya wananchi katika mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye Uwanja Soko la Maneromango, wilayani Kisaarawe mkoa wa Pwani.
Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye akihutubia mamia ya wananchi katika mkutano wa hadhara wa Kinana,uliofanyika leo, kwenye Uwanja Soko la Maneromango, wilayani Kisaarawe mkoa wa Pwani.

No comments: