Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Dk.Ali Mohamed Shein akizungumza na Balozi wa Marekani nchini Tanzania
Mark Bradley alipofika Ikulu Mjini Zanzibar.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza
la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akifuatana na Balozi wa Marekani
nchini Tanzania Mark Bradley baada ya mazungumzo yao alipofika Ikulu.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza
la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akiagana na Balozi wa Marekani nchini
Tanzania Mark Bradley baada ya mazungumzo yao alipofika Ikulu Mjini Zanzibar.[Picha na Ramadhan Othman Ikulu.]
No comments:
Post a Comment