KWA MAWASILIANO ZAIDI: E-mail: yusuf.badi2@gmail.com.

NSSF

TANGAZO

Monday, October 20, 2014

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI - MAVAZI YA KIJESHI.

JESHI LA ULINZI LA WANANCHI WA TANZANIA
KURUGENZI YA HABARI NA UHUSIANO
 
Simu ya Upepo   : “N G O M E            Makao Makuu ya Jeshi,
Simu ya Mdomo : DSM  22150463       Sanduku la Posta 9203,
Telex                    : 41051                        DAR ES SALAAM, 20Octoba, 2014
Tele Fax              : 2153426
Baruapepe        : ulinzimagazine@yahoo.co.uk
Tovuti                  : www.tpdf.mil.tz
 
 
                  
Taarifa kwa Vyombo vya Habari
 
Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) linatoa taarifa kwa wananchi wote kuwa ni kosa kisheria kumiliki au kuvaa sare za JWTZ kwa mtu yeyote asiyehusika.
          Aidha,  kumeonekana matukio kadhaa ya baadhi ya vikundi, ama mtu mmoja mmoja kumiliki au kuvaa sare za JWTZ.  Inakumbushwa kuwa kwa yeyote atakayeonekana amevaa ama kumiliki sare hizo sheria itachukua mkondo wake.
 
 
 
 
ImetolewanaKurugenziyaHabarinaMahusiano
MakaoMakuuyaJeshi, Upanga
S.L.P  9203,   Dar es Salaam,  Tanzania.
KwaMawasiliano zaidi: 0783 - 309963

No comments: