KWA MAWASILIANO ZAIDI: E-mail: yusuf.badi2@gmail.com.

NSSF

TANGAZO

Thursday, March 19, 2015

RAIS KIKWETE ALIHUTUBIA BUNGE LA AFRIKA MASHARIKI

 Spika wa Bunge la Afrika Mashariki Mh.Daniel Kidega akimkaribisha Rais Dk.Jakaya Mrisho Kikwete katika jengo la bunge mjini Bujumbura Burundi ambapo alilihutubia Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki.
 Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiongozwa kuingia katika jengo la Bunge mjini Bujumbura Burundi ambapo alilihutubia Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki.
 Wimbo wa Taifa.

 Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akitoa hotuba yake katika Bunge la Afrika Mashariki huko Bujumbura Burundi.
 Rais Dk .Jakaya Mrisho Kikwete.
Rais Dk .Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na wabunge wa Afrika Mashariki muda mfupi baada ya kuwahutubia mjini Bujumbura Burundi.(Picha na Freddy Maro)

No comments: