KWA MAWASILIANO ZAIDI: E-mail: yusuf.badi2@gmail.com.

NSSF

TANGAZO

Thursday, March 19, 2015

SEMINA YA MADAKTARI KUHUSU MAGONJWA YA NGOZI.

 Mtaalam wa magonjwa ya ngozi kutoka India, Dk. Ranindra Babu akitoa mada kuhusu majongwa hayo ya ngozi yalivyo na tiba zake, wakati wa semina ya madaktari iliyofanyika jana, kwenye hoteli ya Protea Cortyard jijini Dar es Salaam. zaidi ya madaktari 45, kutoka hospitali na taasisi mbalimbali za tiba ndani na nje ya Tanzania, walihudhuria semina hiyo.
Mkurugenzi wa tiba, katika Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Dk.Neema Rusibamanyika, akifungua semina kuhusu majongwa ya ngozi, jana, kwenye hoteli ya Protea Cortyard jijini Dar es Salaam. zaidi ya madaktari 45, kutoka hospitali na taasisi mbalimbali za tiba ndani na nje ya Tanzania, walihudhuria semina hiyo.

No comments: