Naibu Waziri
wa Habari , Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Anastazia Wambura
akimsikiliza Mhasibu wa wizara hiyo Godfrey Osmund mara baada ya kumkabidhi
shilingi milioni tatu zilizotolewa na mdau wa michezo ambaye hakutaka jina lake litajwe kwaajili ya kuisaidia timu
ya wanawake ya mpira wa miguu ya Twiga Stars. Ijumaa ya wiki hii timu hiyo
itacheza na Zimbabwe mashindano ya awali ya kufuzu kombe la Afrika
kwa wanawake.
aibu Waziri
wa Habari , Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Anastazia Wambura akimweleza
jambo Mhasibu wa wizara hiyo Godfrey Osmund mara
baada ya kumkabidhi shilingi milioni tatu zilizotolewa na mdau wa michezo ambaye
hakutaka jina lake litajwe kwaajili ya
kuisaidia timu ya wanawake ya mpira wa miguu ya Twiga Stars. Mhasibu Osmund
alizipeleka fedha hizo katika Benki ya
NMB Bank House akaunti namba “20110001677 inayojulikana kwa jina la Twiga
Stars Special Fund”.
Naibu Waziri
wa Habari , Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Anastazia Wambura
akimkabidhi Mhasibu wa wizara hiyo
Godfrey Osmund shilingi milioni tatu zilizotolewa na mdau wa michezo ambaye hakutaka
jina lake litajwe kwaajili ya kuisaidia
timu ya wanawake ya mpira wa miguu ya Twiga Stars. Fedha hizo zimewekwa katika Benki ya NMB Bank House akaunti namba “20110001677
inayojulikana kwa jina la Twiga Stars Special Fund”.(Picha na Anna Nkinda)
No comments:
Post a Comment