Kaimu Meneja wa
Uwanja wa Taifa,Julius Mgaya (kushoto) akimuonyesha Waziri wa Habari,
Utamaduni, Sanaa na Michezo,Nape Moses Nnauye jinsi Kamera za CCTV
zinavyoweza kumnasa mtu akifanya jambo lolote baya ndani ya Uwanja wa Taifa wakati
alipotembelea kukagua marekebisho ya miundombinu ya uwanja huo 11 Desemba,
2016 Jijini Dar es Salaam.
|
No comments:
Post a Comment