Kamati
ya Utendaji ya Shirikisho la Mpira wa Miguu (CAF), limetoa nafasi ya
mwisho kwa Shirikisho la Mpira wa Miguu la Jamhuri ya Congo (FECOFOOT)
kumpeleka mchezaji Langa Lesse Bercy jijini Libreville, Gabon kwa ajili
ya kipimo kipya cha MRI ili kutambua umri wake.
CAF limetaka FECOFOOT kumpeleka mchezaji huyo huko Libreville, Gabon ndani ya siku 10 zijazo kuanzia jana Januari 12, 2017.
Kwa taarifa zaidi, fuata link hapo chini
RAIS MALINZI AMPONGEZA MKURUGENZI SINGO
Rais
wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Bw. Jamal Malinzi
amempongeza Bw. Yusuph Singo Omari kuteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Idara ya
Maendeleo ya Michezo Tanzania.
Mapema
wiki hii, Yusuph Singo Omari, aliteuliwa na Waziri wa Habari Utamaduni
Sanaa na Michezo Nape Moses Nnauye kushika wadhifa huo kujaza nafasi
iliyoachwa wazi na Leonard Thadeo aliyehamishiwa Wizara ya Elimu na
Mafunzo ya Ufundi.
Kwa taarifa zaidi, fuata link hapo chini
AZAM SPORTS FEDERATION YAENDELEA
Michuano
ya kuwania Kombe la Shirikisho ya Azam (Azam Sports Federation Cup
2016/2017), inatarajiwa kuendelea kesho kwa kukutanisha timu za Ligi
Daraja la Kwanza (FDL) baada ya hatua ya kushirikisha timu za daraja la
pili na timu za ligi ya mikoa (RCL) kukamilika.
Kesho
Jumamosi Januari 14, mwaka huu, KMC ya Kinondoni itacheza na Kiluvya
United ya Pwani kwenye Uwanja wa Karume, Dar es Salaam kabla ya
keshokutwa Jumapili Januari 15, mwaka huu kwenye viwanja tofauti.
Kwa taarifa zaidi, fuata link hapo chini
LIGI KUU YA VODACOM TANZANIA BARA J’MOSI
Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), inatarajiwa kuendelea kesho Jumamosi Januari 14, 2017 kwa michezo miwili.
Katika
michezo hiyo umo wa upinzani kati ya Stand United na Mwadui FC – zote
za Shinyanga ambzo zitapambana kwenye Uwanja wa CCM Kambarage.
Kwa taarifa zaidi, fuata link hapo chini
http://www.tff.or.tz/news/740-
No comments:
Post a Comment