KWA MAWASILIANO ZAIDI: E-mail: yusuf.badi2@gmail.com.

NSSF

TANGAZO

Tuesday, February 7, 2017

HOTUBA YA RAIS TFF, JAMAL EMIL MALINZI KUHUSU SERENGETI BOYS.

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limepokea kwa furaha maamuzi yaliyotolewa na Kamati ya Utendaji ya CAF ya kuipa Tanzania nafasi ya kucheza fainali za Afrika za vijana chini ya umri wa miaka 17 (Afcon U17). Mashindano haya yatanyika nchini Gabon kuanzia tarehe 21 Mei, 2017 hadi 04 Juni, 2017.

Timu nane zitashiriki fainali hizi na zimegawanywa makundi mawili, kundi A ni Gabon, Ghana, Guinea, Cameroon na kundi B ni Mali, Niger, Angola na Tanzania. Washindi wawili wa kila kundi wataliwakilisha bara la Afrika katika fainali za dunia huko India mwezi Novemba mwaka huu. 
  
Kwa taarifa zaidi, fuata link hapo chini

No comments: