KWA MAWASILIANO ZAIDI: E-mail: yusuf.badi2@gmail.com.

NSSF

TANGAZO

Saturday, December 22, 2012

TAIFA STARS YAIFANYA KITU MBAYA CHIPOLOPOLO YA ZAMBIA WALALA NA VIATU YAIFYATUA BAO 1-0.

 Kikosi cha Taifa Stars Tanzania.
 Kikosi cha Chipolopolo ya Zambia.
 Mchezaji Mwinyi Kazimoto akipambana na mchezaji Felix Katongo wa Chipolopolo ya Zambia.

 Mchezaji Kelvin Yondani (kulia) akimzuia mchezaji Evans Kangwa wa Chipolopolo ya Zambia.
 Chipolopolo wakijiandaa kuingia Uwanjani.
.

 Nahodha wa Chipolopolo,Christopher Katongo

 Mchezaji wa Chipolopolo,Stoppila Sunzu.
 Mrisho Ngasa (kulia) akiumiliki mpira.

Mtoto wa Simba ni Simba pichani Uhuru Mvula (kushoto) akijifua wakati wa mchezo wa timu ya Taifa Stars na Chipolopolo Uwanja wa Taifa Dar es Salaam huku baba yake Hassani Mvula wa Kiss Fm na Radio Free Africa na Star TV akiandaa vitendea kazi.

No comments: