KWA MAWASILIANO ZAIDI: E-mail: yusuf.badi2@gmail.com.

NSSF

TANGAZO

Monday, September 16, 2013

KINANA AMALIZA ZIARA YAKE MEATU.

 Katibu Mkuu wa CCM Taifa Ndugu Abdulrahman Kinana asimikwa uchifu wa kisukuma na kutambulika kama Chifu Kilabanja ,Katibu Mkuu alisimikwa jana kwenye uwanja wa Mwahnuzi wilayani Meatu.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akizungumza na mbunge wa Maswa Magharibi John Shibuda baada ya kukutana kwenye mkutano wa hadhara wa CCM uliofanyika kwenye kiwanja cha Mwahnuzi wilayani Meatu.(Picha na Adam Mzee).

No comments: