Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Dkt. Abdallah Kigoda (kulia)
akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) leo mkoani Dodoma kuhusu maendeleo
ya zoezi la Sensa ya Viwanda linalofanyika nchini. Kushoto kwake ni Idd Mruke,
Meneja Takwimu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu, mkoa wa Dodoma.
Meneja wa Takwimu za Biashara na Utalii kutoka Ofisi
ya Taifa ya Takwimu, ambaye ni Msimamizi wa Sensa ya Viwanda nchini akiwaelezea
waandishi wa habari leo mkoani Dodoma kuhusu vigezo vilivyotumika katika
kuchagua sampuli ya viwanda vilivyochaguliwa kufanyiwa utafiti. Kushoto kwake
ni Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Dkt. Abdallah Kigoda.
No comments:
Post a Comment