Rais Dk. John Magufuli akisalimia waumini aliposhiriki ibada ya Jumapili ya Kupaa kwa Bwana katika Parokia ya Toleo la Bwana jimbo la Arusha
Rais, John Magufuli akisalimia waumini aliposhiriki ibada ya Jumapili ya Kupaa kwa Bwana.
Rais Dk. John Magufuli akisalimia waumini aliposhiriki ibada.
Sehemu ya waumini wakimsikiliza Rais Dk. John Magufuli alipokuwa akiwsalimia aliposhiriki ibada.
Rais Dk. John Magufuli akisalimia na wanakwaya aliposhiriki ibada ya Jumapili ya Kupaa kwa Bwana.
Rais Dk. John Magufuli akisalimia baadhi ya watawa.
Rais Dk. John Magufuli akisalimia baadhi ya watawa.
Rais Dk. John Magufuli akisalimia baadhi ya watawa.
Rais Dk. John Magufuli akiagana na Padri Kiongozi Germin Longio baada ya kushiriki ibada. Kulia ni Pdr. Germin Longio na kushoto kwake ni Padri wasaidizi Prosper Tesha na Furchong James Luis
Rais Dk. John Magufuli akisalimiana na vijana wa altari.
Rais Dk. John Magufuli akishiriki katika ibada.
Rais Dk. John Magufuli akishiriki katika ibada.
Sehemu ya waumini wakimsikiliza Rais.
Rais Dk. John Magufuli akishiriki katika ibada.
Rais Dkt. John Magufuli akishiriki katika ibada.
Rais Dk. John Magufuli akishiriki katika ibada.
Rais Dk. John Magufuli akipokea zawadi ya Rozari kutoka kwa Padri Kiongozi Peter Pinto.
Rais Dk. John Magufuli akipokea zawadi ya Biblia Takatifu kutoka kwa Padri Kiongozi Peter Pinto.
No comments:
Post a Comment