KWA MAWASILIANO ZAIDI: E-mail: yusuf.badi2@gmail.com.

NSSF

TANGAZO

Thursday, December 20, 2012

UJENZI WA BARABARA YA MOROGORO ITAKAYOTUMIKA MABASI YAENDAYO KASI YAJENGWA KWA KASI.


 Eneo la Manzese Darajani barabara ikiendelea kujengwa kwa kasi kama inavyoonekana.


Kazi ya Ujenzi wa Barabara ya Morogoro kwa ajili ya magari ya mwendo wa kasi nayo imeshika kasi kama inavyoonekana magari ya Kampuni ya Strabag yakimwaga kifusi eneo la Manzese Darajani.(PICHA TANZANIA LIVE BLOG)

No comments: