KWA MAWASILIANO ZAIDI: E-mail: yusuf.badi2@gmail.com.

NSSF

TANGAZO

Saturday, September 7, 2013

WAZIRI MKUU AKUTANA NA WAKUU WA MIKOA KATIKA KIKAO CHA KAZI.



Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na  Afisa Mtendaji Mkuu wa Presidential Bureau Omar Issa (katikati) na Mkuu wa Chuo cha Uongozi, Profesa Joseph Semboja katika mkutano alioutisha wa Wakuu wa Mikoa na Makatibu Tawala wa Mikoa  wa kujadili utekelezaji  wa mpango wa matokeo makubwa sasa,  (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

No comments: