JESHI LA ULINZI LA WANANCHI WA TANZANIA
KURUGENZI YA
HABARI NA UHUSIANO
Simu ya Upepo : “N
G O M E” Makao Makuu ya
Jeshi,
Simu ya Mdomo :
DSM 22150463 Sanduku la Posta 9203,
Telex
: 41051
DAR ES SALAAM, 13 Agosti, 2014
Tele Fax
: 2153426
Barua pepe : ulinzimagazine@yahoo.co.uk
Tovuti : www.tpdf.mil.tz
Taarifa kwa Vyombo
vya Habari
Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), kwa masikitiko makubwa linapenda kuwatangazia
Wananchi wote kuwa mnamo tarehe 11 Agosti, 2014 muda wa saa 11:30 jioni
Askari wa JWTZ wakiwa na gari lenye Nambari UN 47089 aina ya Leyland
Ashock likiwa kwenye msafara kutoka
Beni kuelekea Sake, limepata ajali maeneo kati ya Rwindi na Kanyabayoga nchi
DRC.
Gari hilo lilikuwa na Askari idadi watano (5)
miongoni mwao Askari watatu (3) walifariki dunia papo hapo. Askari waliofariki ni kama ifuatavyo:-
a.
Private Mohamed John Mbizi.
b.
Private Vasco Adrian Msigala.
c.
Private Ally Salum Jumanne.
Askari idadi wawili (2) walipata majeraha, ambao wamechukuliwa na helicopter kwenda Goma
kwa matibabu zaidi. Majina yao ni kama
ifuatavyo:-
a.
Private
Emily Edward Lyombe
b.
Private
Haji Hassan Amme
Kuwasili kwa miili ya marehemu na taratibu za
maziko zitatolewa baadae.
Imetolewa na Kurugenzi
ya Habari na Mahusiano
Makao Makuu ya Jeshi, Upanga
S.L.P 9203, Dar es Salaam, Tanzania.
Kwa Mawasiliano zaidi: 0754 270136
No comments:
Post a Comment