Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akimfariji Mama Mary Mbaga Makame, mjane wa Marehemu Jaji Lewis Mhina Makame mara baada ya kuwasili kijijini Tongwe, wilayani Muheza kwa ajili. |
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akimfariji Mama Mary Mbaga Makame, mjane wa
Marehemu Jaji Lewis Mhina Makame mara baada ya kuwasili kijijini Tongwe,
wilayani Muheza kwa ajili ya mazishi.
Mke wa
Rais Mama Salma Kikwete akiaga mwili wa Marehemu Jaji Lewis Makame kijijini
kwake huko Tongwe, wilayani Muheza.
No comments:
Post a Comment