KWA MAWASILIANO ZAIDI: E-mail: yusuf.badi2@gmail.com.

NSSF

TANGAZO

Sunday, March 8, 2015

MAMA SALMA KIKWETE MGENI RASMI KILELE CHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI MKOANI DAR.

 Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akipokewa na Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Ndugu Raymond Mushi wakati akiwasili kwenye viwanja vya Mnazi Mmoja katika kilele cha maadhimisho ya siku ya wanawake duniani mkoani Dar esb Salaam.

 Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akipunga mkono ikiwa ni ishara ya kuyapokea  maandamano ya akina mama wa Mkoa wa Dar es Salaam kwenye viwanja vya Mnazi Mmoja wakati wa kilele cha maadhimisho ya siku ya wanawake duniani.
 Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akipunga mkono ikiwa ni ishara ya kuyapokea  maandamano ya akina mama wa Mkoa wa Dar es Salaam kwenye viwanja vya Mnazi Mmoja wakati wa kilele cha maadhimisho ya siku ya wanawake duniani.
 Wafanyakazi akina mama kutoka Jeshi la Polisi wakipita mbele ya Mgeni Rasmi Mama Salma Kikwete wakifuatiwa na Jeshi la zimamoto.
 Wafanyakazi kutoka Shirika la Utangazaji Tanzania, TBC, wakifuatiwa na wafanyakazi wa Shirika la Magazeti ya Serikali ya Daily News na Habari leo pamoja na Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo nao wakipita mbele ya jukwaa la mgeni rasmi.
 Wafanyakazi kutoka Shirika la Utangazaji Tanzania, TBC, wakifuatiwa na wafanyakazi wa Shirika la Magazeti ya Serikali ya Daily News na Habari leo pamoja na Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo nao wakipita mbele ya jukwaa la mgeni rasmi
 Wafanyakazi kutoka Shirika la Utangazaji Tanzania, TBC, wakifuatiwa na wafanyakazi wa Shirika la Magazeti ya Serikali ya Daily News na Habari leo pamoja na Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo nao wakipita mbele ya jukwaa la mgeni rasmi.

   Mamia ya wafanyakazi wanawake na baadhi ya wanaume waliofurika kwenye viwanja vya Mnazi Mmoja wakifuatilia mambo mbalimbali yaliyokuwa yakiendelea kwenye siku ya maadhimisho ya wanawake duniani.
  Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akipokea zawadi ya mkoa wa Dar es Salaam kutoka kwa Kaimu Mkuu wa Mkoa na Mkuu wa Wilaya ya Ilala Ndugu Raymond Mushi na Afisa Tawala wa Mkoa Mama Theresia Mbando (katikati) wakati wa kilele cha maadhimisho ya siku ya wanawake duniani.

No comments: