KWA MAWASILIANO ZAIDI: E-mail: yusuf.badi2@gmail.com.

NSSF

TANGAZO

Wednesday, February 27, 2013

BINTI ALIYEFANYIWA UNYAMA NA WATU 3 KWA KUFUNGIWA NA KUFICHWA MIEZI 4 NDANI YA CHUMBA KILICHOJENGWA NA MATOFALI KAMA KABURI AMBAMO AKILALA HUMO MCHANA NA USIKU KUCHA.

 Nyumbani kwao Kijijini Kidimu Mkoa wa Pwani.
 Hii ni nyumba (JERA) alikokuwa akiishi  karibu  pembeni ya barabara ya kwenda Bagamoyo.
 Nyumba (JERA) joto na juu vilikuwa vyake.
 Nyumba aliyoishi (JERA) kulikuwa na ulinzi mkali ili asitoloke.
 Shule ya Sekondari anayosoma ni mwanafunzi wa kidato cha 2 pili mwaka huu lakini alichelewa kulipoti kwa sababu ya matatizo hayo.

Akionesha sehemu aliyokuwa akilala mchana kutwa na usiku kucha.
 Bibi akiangalia sehemu mjukuu wake akiishi kwa taabu kwa miezi 4.

 Babu akiwa amekaa katika godoro ambalo lilifunikwa juu kama kitanda chini akilala mjukuu wake.

 Hapo ni kama chaga lakini chini yake ndiyo yalikuwa maisha yake kwa miezi4
Jinsi alivyokuwa akilala baada ya kufunikwa chaga na godoro.

KWA UFUPI
Binti huyu mwenye umri wa  miaka 16 na mwanafunzi wa kidato cha pili 2 alitekwa na Vijana watatu wakati akielekea kanisani mwezi wa 11-2012 na kupatikana baada ya kukimbia tarehe 23/2/2013.  (PICHA NA HABARI NA TANZANIA LIVE BLOG)
 


No comments: