KWA MAWASILIANO ZAIDI: E-mail: yusuf.badi2@gmail.com.

NSSF

TANGAZO

Wednesday, February 27, 2013

SHEIKH ALI YOUSEIF AKUTANA NA RAIS WA ZANZIBAR.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Dk.Ali Mohamed Shein,akisalimiana na  Mwenyekiti wa  Jumuiya ya Al
Youseif Sheikh Abdullah Mohamed Alyouseif,alipofika Ikulu Mjini
Zanzibar kuonana na Rais.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akizungumza na   Mwenyekiti wa  Jumuiya
ya Al Youseif Sheikh Abdullah Mohamed Alyouseif,alipofika Ikulu Mjini
Zanzibar kuonana  Rais. [Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]

No comments: