KWA MAWASILIANO ZAIDI: E-mail: yusuf.badi2@gmail.com.

NSSF

TANGAZO

Sunday, April 21, 2013

AZAM FC NGUVU SAWA NA AS FAR RABAT YA MOROCCO UWANJA WA TAIFA DAR ES SALAAM,JE AZAM ITAFANYA NINI WIKI MBILI ZIJAZO MOROCCO?.

 Kikosi cha kwanza cha Azam Fc ya Chamazi Dar es Salaam.
 Kikosi cha kwanza cha As Far Rabat Fc ya Morocco.
 Mchezaji wa Azam Fc,John Bocco akijaribu kumtoka mchezaji,Yassine El Kordy wa As Far Rabat Fc.
 Mchezaji wa Azam Fc,Salum Abubakar akipambana na mchezaji,Mohammed El Bakkali wa As Far Rabat.
 Mchezaji,Kipre Tchetche akijaribu kuyatumia makosa ya kipa,Ali Grouni wa As Far Rabat baada ya kuacha goli wazi.
 Mchezaji Nahodha,Mustapha Mrani wa As Far Rabat akiuwania mpira,huku mchezaji Humphrey Mieno (kulia) wa Zam Fc akiuwania na Khamis Mcha (kushoto).
 Beki Yassine El Kordy (mwenye mpira kulia) wa As Far Rabat Fc ya Morocco akijitahidi kuokoa hatari iliyosababishwa na mchezaji,Kipre Tchetche wa Azam Fc. 
 
 Nyanda Ali Grouni na beki Yassine El Kordy wakiokoa moja ya hatari langoni mwao.
Mchezaji,Salum Abubakar (kulia) akimtoka mchezaji,Mohammed El Bakkali wa As Far Rabat ya Morocco. 

No comments: