KWA MAWASILIANO ZAIDI: E-mail: yusuf.badi2@gmail.com.

NSSF

TANGAZO

Wednesday, May 8, 2013

ZIARA YA MAKAMU WA CCM DK.SHEIN,WILAYA MICHEWENI

Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akifuatana na Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Vuai Ali Vuai,na Viongozi wengine alipowasili katika uwanja wa Ukumbi wa Jamhuri Hall Wete Pemba katika mkutano wa kuwakabidhi kadi wanachama wapya 50 waliojiunga na Chama hicho katika ziara ya kuimarisha chama Wilaya ya Wete Mkoa wa Kaskazini Pemba.
Baadhi ya Viongozi walioungana na Ujumbe wa Ziara ya Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,katika kuimarisha Chama cha
Mapinduzi Wilaya ya Wete Mkoa wa Kaskazini Pemba.
Vijana waliokaa chini ndio miongoni mwa  vijana 50 waliojiunga na Chama chama Mapinduzi,wakisubiri kukabidhiwa kadi zao za Chama na Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,katika ziara ya  kuimarisha Chama cha Mapinduzi Wilaya ya Wete Mkoa wa Kaskazini Pemba.
Wasoma Utenzi wa chama cha Mapinduzi Mkoa wa kaskazini Pemba Fatma Juma Ramadhan,(kushoto) na Halima Juma Haji,wakihani utenzi wao  kutoa burudani wakati wa mkutano wa Makamu Mwenyekiti wa
CCM Zanzibar na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,alipozungumza na wananchi na wanachama katika ziara ya  kuimarisha Chama cha Mapinduzi Wilaya ya Wete Mkoa wa Kaskazini Pemba,katika uwanja wa Jamhuri Hall Wete.
Msanii wa Kizazi kipya Iddi Thabit IT akitoa burudani yake kwa wimbo maalum aliotunga wakati wa Ziara ya Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,alipokuwa na mazungumzo na wananchi na wanachama katika Tawi la CCM Kipangani Wete, katika ziara ya kuimarisha Chama cha Mapinduzi Wilaya ya Wete Mkoa wa Kaskazini
Pemba,katika uwanja wa Jamhuri Hall Wete.
Baadhi ya Wananchi na Wanachama wapya wa Tawi la CCM Kipangani Wete,wakisikiliza Hotuba ya Makamu Mwenyekiti wa CCM  Zanzibar na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Dk.Ali Mohamed Shein,aliyoitoa  alipofanya Mkutano na wanachama hao katika uwanja wa Jamhuri Hall Wete,akiwa katika ziara  ya kuimarisha Chama cha Mapinduzi Wilaya ya Wete Mkoa wa kaskazini Pemba.
Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akimkabidhi Kadi mwanachama Mpya wa CCM Amour Juma Makarani,akiwa katika miongoni mwa Wanachama 50 aliowakabidhi kadi leo,akiwa katika ziara  ya kuimarisha Chama cha Mapinduzi Wilaya ya Wete Mkoa wa kaskazini Pemba.
Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais wa Zanzibar na  Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akimkabidhi Kadi mwanachama Mpya wa CCM Khamis Akida Juma,akiwa katika miongoni mwa Wanachama 50 aliowakabidhi kadi, akiwa katika ziara  ya kuimarisha Chama cha Mapinduzi Wilaya ya Wete Mkoa wa kaskazini Pemba.
Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akimkabidhi Kadi mwanachama Mpya wa CCM Fatma Suleiman Said,akiwa katika miongoni mwa Wanachama 50 aliowakabidhi kadi, akiwa katika ziara  ya kuimarisha Chama cha Mapinduzi Wilaya ya Wete Mkoa wa kaskazini Pemba.
Wanachama Wapya waliojiunga na CCM wakila kiapo cha Utii kwa chama baada ya kukabidhiwa kadi zao na Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Dk.Ali Mohamed Shein, akiwa katika ziara  ya kuimarisha Chama cha Mapinduzi Wilaya ya Wete Mkoa wa kaskazini Pemba.
Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais wa Zanzibar  na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,(katikati) pamoja na Viongozi wa Chama wakila kiapo cha Utii wakatiwakuwaapisha wanachama wapya waliojiunga na CCM katika Wilaya ya Wete Mkoa wa Kaskazini Pemba,alipofanya zaiara ya kuimarisha Chama cha Mapinduzi.
Mwanachama Mpya aliyejiunga na CCM Amour  Suleiman,akijitambulisha kwa wanachama wa CCM Wilaya ya Wete,akifanya idadi ya wanachama Sitini na Moja waliojiengua Chama cha CUF,wakati wa
Mkutano allioufanya Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,alipokuwa katika ziara ya kuimarisha Chama katika Wilaya hiyo baada ya kuweka jiwe la msingi tawi la CCM Kipangani.
Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Vuai Ali Vuai,akimkaribisha Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,kuzungumza na Wanachama na Wananchi wa Tawi la CCM Kipangani Wete, baada ya kuweka jiwe la msingi Tawi hilo, katika ziara ya kuimarisha Chama katika Wilaya ya Wete Mkoa wa Kaskazini Pemba,
Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akizungumza na Wanachama na Wananchi wa Tawi la CCM Kipangani
Wete, baada ya kuweka jiwe la msingi Tawi hilo, katika ziara ya kuimarisha Chama katika Wilaya ya Wete Mkoa wa Kaskazini Pemba, [Picha na Ramadhan Othman Ikulu.]

No comments: