KWA MAWASILIANO ZAIDI: E-mail: yusuf.badi2@gmail.com.

NSSF

TANGAZO

Tuesday, May 7, 2013

RAIS KIKWETE AKIWA ARUSHA KUHANI MISIBA YA WALIOKUFA KATIKA MLIPUKO WA BOMU KANISA LA OLASITI

 Rais  Jakaya Mrisho Kikwete na mke wake Mama Salma Kikwete wakihani msiba wa msichana Patricia Joachim Assey  (10) nyumbani kwa wazazi wa marehemu katika kitongoji cha Majengo kata ya Elerai aliyefariki kutokana na mlipuko wa bomu jumapili iliyopita  Kanisa la Mtakatifu Joseph, Parokia ya Olasiti. jijini Arusha.
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na Bw. Joachim Assey (aliyekaa kushoto kwake) wakati akihani  msiba wa msichana Patricia Joachim Assey  (10) aliyefariki kutokana na mlipuko wa bomu jumapili iliyopita katika  Kanisa la Mtakatifu Joseph, Parokia ya Olasiti  jijini Arusha.
 Rais Kikwete akiwasalimia Mastasta.




Rais Jakaya Mrisho Kikwete akikaribishwa na  Askofu Mkuu wa Jimbo la Arusha la Kanisa Katoliki jijini Arusha Muadhama Josephat Lebulu  alipowasili katika makazi yake rasmi kutoa pole kwa shambulio la kigaidi katika Kanisa la Mtakatifu Joseph, Parokia ya Olasiti  Jumapili iliyopita



















No comments: