1 Mkuu wa Mkoa wa Singida,Dk Rehema
Nchimbi akishiriki kazi ya uzalishaji chaki wakati wa ziara ya kikazi ya
kutembelea Kiwanda cha usagaji wa unga wa Gypsum na Uzalishaji chaki cha Dober
Color Kilichopo katika Kata ya Itigi-Majengo Halmashauri ya Itigi.
Mkuu wa Mkoa wa Singida,Dk Rehema
Nchimbi akikagua kiwanda cha usagaji wa unga wa Gypsum na Uzalishaji chaki cha
Dober Color Kilichopo katika Kata ya Itigi-Majengo Halmashauri ya Itigi wakati
wa ziara ya kikazi
Kaimu Mkuu wa Wilaya ya Manyoni ambaye
ni Mkuu wa Wilaya ya Ikungi,Miraji Jumanne Mtaturu akimkabidhi boksi tano
za chaki Mkuu wa Mkoa wa Singida,Rehema Nchimbi mara baada ya
kutembelea na kukagua kiwanda cha usagaji wa unga wa Gypsum na Uzalishaji chaki
cha Dober Color Kilichopo katika Kata ya Itigi-Majengo Halmashauri ya Itigi wakati
wa ziara ya kikazi
Kaimu Mkuu wa Wilaya ya Manyoni ambaye
ni Mkuu wa Wilaya ya Ikungi, Miraji Jumanne Mtaturu akishiriki kazi ya
uzalishaji chaki wakati wa ziara ya kikazi ya Mkuu wa Mkoa wa Singida,Dk
Rehema Nchimbi kutembelea Kiwanda cha usagaji wa unga wa Gypsum na Uzalishaji
chaki cha Dober Color Kilichopo katika Kata ya Itigi-Majengo Halmashauri ya Itigi.
Mkuu wa Mkoa wa Singida, Dk Rehema
Nchimbi akisalimiana na Meneja wa kiwanda cha Uzalishaji chaki cha Dober Color,
Mukhtar Mahamood mara baada ya kuwasili kiwandani hapo
Mkuu wa Mkoa wa Singida,Dk Rehema
Nchimbi akikagua mizinga ya nyuki mara baada ya kutembele kiwanda Uzalishaji
chaki, Mafuta ya Alizeti na Asali cha Fahari Kilichopo katika eneo la
Tambukareli Halmashauri ya Mji wa Itigi wakati wa ziara ya kikazi, Kulia kwake
ni Kaimu Mkuu wa Wilaya ya Manyoni ambaye ni Mkuu wa Wilaya ya Ikungi Mhe
Miraji Jumanne Mtaturu.
Ukaguzi
wa kiwanda cha uzalishaji Chaki
Mkuu wa Mkoa wa Singida, Dk Rehema
Nchimbi akikagua eneo la kutunzia Unga wa Gypusm katika kiwanda cha uzalishaji
Gypsum cha Sanjaranda, Halmashauri ya Itigi
Mkuu wa Mkoa wa Singida, Dk Rehema Nchimbi akizungumza
kwa njia ya simu na mmiliki wa kiwanda cha uzalishaji unga wa Gypsum cha
Sanjaranda Bw Rashid Said Rashid akiwa Dar es salaam ambaye alimuhakikishia
Mkuu wa Mkoa kuwa mpaka kufikia Januari 2018 uzalishaji wa Gypsum utaanza katika
eneo la Sanjaranda, Halmashauri ya Itigi ili kurahisisha huduma hiyo.
Mkuu wa Mkoa wa Singida,Dk Rehema Nchimbi akiwa
kwenye shamba la Mkulima Juma Patrick na kujionea mikorosho inavyoharibika kwa
kukosa dawa ambapo alizungumza kwa njia ya simu na muwakilishi wa Bodi ya
Korosho akiwa Dar es salaam ambaye alimuhakikishia Mkuu wa Mkoa kuwa dawa za
kuua wadudu kwenye Mikorosho zitawasili kati ya Jumanne Septemba.
Mkuu wa Mkoa wa Singida,Dk Rehema Nchimbi
akionyesha chaki bora zinazozalishwa Wilayani Manyoni Mkoani Singida.
Mkuu wa Mkoa wa Singida, Dk Rehema Nchimbi
akisalimiana na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Itigi,Ally Minja mara baada ya
kuwasili Kwa ajili ya kutembelea Kiwanda vya usagaji unga wa Gypsum na
uzalishaji chaki.
Miongoni wafanyakazi wa kiwanda cha Uzalishaji chaki cha Dober Color wakiendelea
na kazi wakati wa ziara ya Mkuu wa Mkoa wa Singida, Dk Rehema Nchimbi.
No comments:
Post a Comment