Wajumbe wa NEC, na Kamati Kuu ya CCM, Makamu wa Rais, Dk. Mohammed
Gharib Bilal, Waziri Mkuu Mizengo Pinda na Naibu Katibu Mkuu wa CCM
Zanzibar, Vuai Ali Vuai wakiwa ukumbini. Kushoto ni Katibu wa NEC Siasa
na Uhusiano wa Kimataifa Dk. Asha-Rose Migiro.
Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete akiongoza kikao cha NEC, leo Feb
26, 2014. Kulia ni Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana na kushoto ni
Makamu Mwenyekiti wa CCM Rais wa Zanzibar Dk. Sheni.
Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi Nape Nnauye na Naibu Katibu Mkuu wa CCM
Zanzibar, Vuai Ali Vuai wakijadili jambo ukumbini. Katikati ni Katibu
wa NEC,Oganaizesheni Mohammed Seif Khatib.
Mjumbe wa NEC, Profesa Anna Tibaijuka akimtegea sikio kwa makini mjumbe
mwenzake, Profesa Mark Mwandosya wakati wakiteta jambo ukumbini wakati
wa kikao hicho.
Wajumbe wa NEC, Balozi Ali Mchumo na Dk. Asha-Rose Migiri wakijadili jambo ukumbini. Kushoto ni Khatib.
Wajumbe ukumbini
Wajumbe ukumbini
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe
akizungumza na Katibu Mkuu wa CCM Mstaafu Martine Shigela nje ya
ukumbi, baada ya kuhojiwa na Kamati ya Maandili ya CCM, leo. Membe
baadaye alihudhuria kikao cha NEC. (PICHA ZOTE NA BASHIR NKOROMO)
No comments:
Post a Comment