Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na wajumbe wa
serikali ya wanafunzi ya Chuo Kikuu cha Mzumbe mjini Morogoro baada ya
kuwahutubia chuoni hapo.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akihutubia wanafunzi, wahadhiri na wananchi
katika Chuo Kikuuu cha Mzumbe Morogoro baada ya kuzindua ukumbi wa
mihadhara na jengo la wahadhiri chuoni.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipokea zawadi ya picha yake ya kuchorwa
wakati alipotembelea Chuo Kikuu cha mzumbe ambapo walihutubia wanafunzi,
wahadhiri na wananchi katika chuo hicho baada ya kuzindua ukumbi wa
mihadhara na jengo la wahadhiri.
Meza kuu ikifurahia jambo wakati Naibu Waziri wa Maji na Mbunge wa
Mvomero Mhe Amos Makalla akipohutubia wanafunzi, wahadhiri na wananchi
katika chuo hicho wakati Rais Kikwete alipotembelea na kuzindua ukumbi
wa mihadhara.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipokea risala toka kwa Rais wa Serikali ya
Wanafunzi ya Chuo Kikuu cha Mzumbe Mhe Boniface Maiga wakati Rais
Kikwete alipotembelea na kuzindua ukumbi wa mihadhara.
Rais wa Serikali ya Wanafunzi ya Chuo Kikuu cha Mzumbe Mhe Boniface
Maiga akisoma risala wakati Rais Kikwete alipotembelea na kuzindua
ukumbi.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akikata utepe kuzindua jengo la mihadhara la
Chuo Kikuu cha Mzumbe Morogoro akisaidiwa na uongozi wa chuo hicho
alipotembelea hapo na kuzindua ukumbi.
Baadhi ya wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Mzumbe Morogoro wakiweka kumbumbuku ujio wa Rais Kikwete alipotembelea.
Umati wa wanafunzi, wahadhiri na wananchi wakimsikiliza Rais Kikwete akiwahutubia.
Umati wa wanafunzi, wahadhiri na wananchi wakimsikiliza Rais Kikwete akiwahutubia.(PICHA NA IKULU)
No comments:
Post a Comment