KWA MAWASILIANO ZAIDI: E-mail: yusuf.badi2@gmail.com.

NSSF

TANGAZO

Friday, April 5, 2013

BLOGERS FC YAKABIDHIWA VIFAA VYA MICHEZO KUNG'ARISHA MEDIA DAY .



Mkurugenzi wa Hoteli ya Sapphire Court ya Jijini Dar es Salaam, Abdulfatah Salim (kulia) akimkabidhi sehemu ya vifaa vya michezo, Nahodha wa timu ya wamiliki wa Magazeti 'Tando' Blogers Fc, Muhidin Sufiani,(kushoto) kwa ajili ya kushiriki katika Bonanza maalum la waandishi Media Day linalofanyika kwenye Viwanja vya Leaders Club Kinondoni. Katikati ni Meneja wa muda wa timu hiyo, Mroki Mroki. Timu hiyo ambayo inashiriki kwa mara ya kwanza katika michezo na bonanza hilo, inatarajia kushiriki katika michezo yote itakayo chezwa, ikiwa ni pamoja na Soka, Netiboli, Kukimbiza Kuku, Kukimbia na Magunia, Kuvuta Kamba, Kucheza Pool, Kuimba na Kudansi 'Sebene' na mingineyo.



Makabidhiano yakiendelea, hii ni Jezi ya Kipa


Nahodha wa timu hiyo Sufiani (kushoto) akiwa na Meneja wa muda wa timu hiyo, Mroki Mroki, wakiwa na Vifaa vilivyokabidhiwa.

No comments: