KWA MAWASILIANO ZAIDI: E-mail: yusuf.badi2@gmail.com.

NSSF

TANGAZO

Thursday, November 12, 2015

Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Kikwete amkabidhi rasmi Ofisi Rais John Pombe Magufuli.

 Rais Mstaafu awamu ya nne Dk.Jakaya Mrisho Kikwete akimkabidhi nyaraka kama ishara ya kukabidhi rasmi ofisi kwa Rais Mpya awamu ya tano Dk.JohnPombe Magufuli wakati wa hafla fupi ya makabidhiano iliyofanyika Ikulu Dar es Salaam.
 Rais Mstaafu awamu ya nne Dk.Jakaya Mrisho Kikwete akimkabidhi nyaraka kama ishara ya kukabidhi rasmi ofisi kwa Rais Mpya awamu ya tano Dk.JohnPombe Magufuli wakati wa hafla fupi ya makabidhiano iliyofanyika Ikulu Dar es Salaam.


Rais Dk.John Pombe Magufuli, Rais Mstaafu awamu ya nne Dk.Jakaya  Kikwete,wakiwa katika picha ya pamoja na Makamu wa Rais Samia Hassani Suluhu na katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue muda mfupi baada ya Rais Mstaafu Kikwete kumkabidhi rasmi Ofisi Rais Dk.John  Magufuli Ikulu Dar es Salaam.(Picha na Freddy Maro)

No comments: